Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa katika maisha yangu.
****
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.
****
from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/3Dw2Q7G
Tags:
MSAMAHA