Sms za mapenzi tamu kabisa kwa wapendanao

 Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.

********
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu kwa kuwa tunapendana!
****




from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/3DqRXDQ

Post a Comment

Previous Post Next Post