Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.
********Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu kwa kuwa tunapendana!
****
****
from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/3DqRXDQ
Tags:
MAHUSIANO