Oh baby utanikumbuka.

Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!

      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu .







from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/E2r8v9J

Post a Comment

Previous Post Next Post