
👌👌👌leo nataka nikufundishe mwari mahaba matamu yanayomgandisha mume 😍😍😍😍😍 katika maisha yako ya ndoa lazima uwe mbunifu upo nyonyo....????👌👌 tafuta kawa lako na sinia kubwa kiasi na upepeo wako....na mswala wako....👌👌👌safisha nyumba au chumba chako...fukiza udi chukua kanga zako nyeupe zifukize udi vizuuri funga mlango wako anza mapishi sasa 👌👌pika chakula anachokipenda bwana kuwa makini unapopika hakikisha kinakuwa kizuri 💞💞zingatia muda wa bwana kurudi ili ale chakula cha moto 👌👌👌👌👌👌👌👌 ukimaliza andaa sinia lako 🙄 weka bakuli la maji ya kunawa na jagi lake, kisahani wekea sabuni ya kunawia mikono na kitaulo cha kufutia mikono💞💞💞 vikombe 2 na sahani bakuli inategemea chakula ulichopika utaandaa trey weka jagi la maji ya kunywa na glass 2....hahahaha ....patamu hapo 👌👌👌👌 tandika mswala wako bibi weka sinia lako lifunike vizuuri na jawa lako lenye ujumbe wa maneno.....👌 weka vitu vyako vyote...... ukimaliza hakikisha ukiingia ndani hutoki mpaka bwana aje 💞💞💞💞💞💞 nenda kaoge mama vizuuri ukimaliza jipambe kidogo...jitie maa aluudi yako na parfum zako unukie haswaa kiuno kina shanga....👌
chukua chetezo tia udi wako jifunge kanga yako moja tuu jeupe upande mwengine muwekee bwana, chuchumaa jifukize udi
🙄🙄😍 ukimaliza kaa umsubiri bwana 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞mwandae bwana akaoge akirudi chumbani mfute maji mvalishe kanga yake mfukize udi muweke kwenye mswala mwambie karibu mume wangu chakula 💞👌mnawishe mikono you unamuangalia usoni kwa jicho la mahaba chukua tonge mlishe na yeye atakulisha mpe maneno matamu 💞💞💞💞💞 hayo ndio mahaba ya pwani upo nyonyo?????
Tags:
MAHABA