Nakupenda sana dear.

 Mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila

 kujali.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

 Mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi ganiunanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako haliwezi futika.

   NAKUPENDA 







from SMS ZA MAHABA https://bit.ly/3o4MVHy

Post a Comment

Previous Post Next Post