NAKUPENDA DEAR.

 pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la

mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili

chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu

nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi

letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.







from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/3do1Vuu

Post a Comment

Previous Post Next Post