Mchana mwema dear



Hakikisho la mapenzi ….. Umengia moyoni mwangu kukutoa itakuwa ngumu sana, wajua moyo huwa unafungunguliwa mara Moja hasa kwa Ile true love.

Njia inayokupeleka kwa mapenzi ni njia nyembamba ambaye wawili hawawezi kupitia lakini mkiwa moja inawezekana.

from SMS ZA MAHABA https://ift.tt/RXt70HP

Post a Comment

Previous Post Next Post